×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ojaamong ahakikishia wakaazi wa Bungoma maendeleo

26th September, 2018

Gavana wa kaunti ya Busia Sospeter Ojaamong amewahakikishia wakaazi wa kaunti hiyo kuwa miradi ya  maendeleo ambayo ilikuwa imekwama sasa itaanza kutekelezwa baada ya kaunti hiyo kupokea pesa kutoka kwa serikali kuu. Ojaamong ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ufisadi alikuwa akizungumza katika kijiji cha  mayenje,eneo bunge la Matayos wakati  akikagua mradi wa ujenzi wa barabara  inayofadhiliwa na serikali ya kaunti.

.
RELATED VIDEOS