22nd September, 2018
Nchi ya Tanzania imo katika siku nne za maombolezi ya kitaifa kufuatia ajali ya feri ya MV Nyerere ambayo imesababisha vifo vya zaidi ya watu mia moja hmasini huku shughuli za uokozi zikiendelea.
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametoa salamu za pole kwa jamaa, ndugu na marafiki wa waathiriwa wa mkasa huo