×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jukwaa la Wahariri lakashifu ongezeko la mashambulizi kwa Wanahabari nchini

18th September, 2018

Jukwaa la Wahariri limefanya mkutano ambao maudhui yalikuwa kutafuta mbionu ya kukomesha ongezeko la mashambulizi kwa Wanahabari nchini. Mkuu wa polisi Joseph Boinnet alikuwa mgeni mheshimiwa katika hafla hiyo na kuihakikishia jamii ya wanahabari kuwa hawatadhulumiwa wakiwa kazini. Kadhalika alivitaka vyombo vya habari kujiepusha tu kuandika ama kuwasilisha habari ambazo alizitaja kuwa mbaya.

.
RELATED VIDEOS