.
17th September, 2018
Nchini Tanzania mwanaume wa miaka 60 ameunda tuk tuk ukipenda pikipiki ya magurudumu matatu iliyo uwezo wa kubeba watu saba kwa kutumia vipuri vilivyotumika na sasa anasubiri kibali cha serikali kitakachoruhusu chombo hicho kutumika katika barabara za nchi hiyo na itakuwa ni mwanzo tu wa mafanikio ya m'bunifu huyo mwenye ndoto ya kufungua karakana kubwa na kuajiri vijana wengi, mwanahabari wetu rajabu hassan amekutana na mbunifu huyo na kutuandalia taarifa ifuatayo kwenye sehemu ya teknohama.