×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jamaa mmoja kumuua nduguye kufuatia mzozo wa ardhi katika kijiji cha Gitero

11th September, 2018

Hali ya taharuki imetanda katika kijiji cha Gitero katika Kaunti ya Nyeri, baada ya jamaa mmoja kumuua nduguye kufuatia mzozo wa ardhi. Inakisiwa wawili hao walikua wakiishi pamoja kabla ya zogo kuzuka.

.
RELATED VIDEOS