×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakaazi wa Thika wamepata mradi wa unyunyiziaji maji mashamba

3rd September, 2018

Wakaazi wa Ngoliba na Maguguni katika mji wa Thika Kaunti ya Kiambu wana kila sababu ya kufurahia baada ya kufufuliwa kwa mradi wa unyunyiziaji maji mashamba ambao unatarajiwa kuyabadilisha maisha yao pakubwa. Mradi huo ulikuwa umeanzishwa miaka 5 iliyopita lakini ukazagaa baada ya fedha zipatazo shilingi milioni 400 kufujwa na waliokuwa wakiusimamia.

.
RELATED VIDEOS