×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

FUEL LEVY: Sheria mpya ya kutoza ushuru kwenye bidhaa za mafuta

1st September, 2018

Ni rasmi kwamba wakenya wataanza kushuhudia hali ngumu ya maisha. Hii ni baada ya sheria mpya ya kutoza ushuru wa ziada, almaarufu vat kwenye bidhaa za mafuta jinsi alivyoagiza waziri wa fedha, henry rotich. Uchunguzi wa ktn umebaini kwamba wahudumu wa magari ya abiria wameongeza nauli kwa kati ya shilingi mia mbili na mia tatu kwa abiria wanaosafiri kutoka nairobi hadi maeneo ya mombasa, kisumu, meru na kakamega.

.
RELATED VIDEOS