28th August, 2018
Timu ya taifa ya kinadada ya Cameroon ilipata ushindi wake wa pili katika mashindano ya ubingwa wa voliboli afrika baada ya kushinda tanzania seti tatu kwa bila za alama 25?16, 25?14 na 25?20 katika mashindano yanayoendelea ugani kasarani.katika mechi nyengine ambayo ilichezwa hii leo,mabingwa watetezi misri waliwashinda rwanda seti 3?1 za alama 25?4,25?16,25?22 nao rwanda wakashinda seti moja pekee na alama 25?16.