.
28th August, 2018
Spika wa Seneti Kenneth Lusaka amemtaka Seneta wa Homabay Moses Kajwang kuandika taarifa kuhusiana na madai ya ufisadi katika kamati ya uhasibu iliyokuwa ikichunguza sakata ya shamba la ruaraka. Spika Lusaka aliyasema haya baada ya kikao cha kamati maalum ya nguvu za seneti inayochunguza sakata hiyo.