×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mboga za kienyeji: umuhimu wake na jinsi zinavyotumika kudhibiti magonjwa

30th July, 2018

Kwa muda mrefu mboga za kienyeji zimechukuliwa kuwa kitoweo cha watu waishio vijijini na wala sio mijini. Lakini baada utafiti kubaini kwamba ulaji wa mboga za kienyeji una manufaa ya afya mwilini kukiwemo kudhibiti maradhi kama vile saratani na uzani kupita kiasi, upanzi na ulaji wa mboga hizo umeanza kupata umaarufu. Katika eneo la magharibi ya Kenya, baadhi ya shule zimezifanya mboga za kienyeji kuwa kitoweo cha msingi katika lishe kwa wanafunzi.

.
RELATED VIDEOS