×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwanamke Laikipia atengeneza mapambo kutokana na taka za plastiki

12th June, 2018

Uchafuzi wa mazingira unaotokana na taka za plastiki sio jambo geni nchini. Licha ya serikali kupiga marufuku mifuko ya plastiki, bado uchafuzi huo unashuuhdiwa. Lakini wafahamu kuwa taka hizo za plastiki na pia za khaki zaweza kutumika kutengeza mapambo kama vile ushanga na vipuli. Raquel Muigai alipata kukutana na mwanamke mmoja katika kaunti ya Laikipia anayefanya hivi na kutupambia makala ya Bongo la Biashara.

.
RELATED VIDEOS