.
12th June, 2018
Mzozo unatokota kati ya kenya na nchi jirani ya Uganda baada ya maafisa wa polisi kutoka Uganda kuwakamata maafisa watatu wa polisi wa kenya kutoka kwenye kitengo cha QRT hapo jana. Na sasa, polisi wa Kenya wanaripotiwa kufanya msako uliowakamata wahamiaji wasio halali hamsini na watatu kutoka Uganda sehemu ya Busia.