5th May, 2018
Historia ya mbinu mbali mbali zilizotumiwa na Wareno na waingereza kwenye jengo la Fort jesus huko Mombasa zaidi ya mika 500 iliyopita katika vita vya kuumiliki ukanda wa bahari hindi kabla ya ukoloni. Lakini kama inavyobainika ni kwamba wakazi wa pwani hawajaikumbatia historia hiyo iliyo karibu nao mithili ya pua na mdomo