×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Sakata ya Mihadarati:Polisi wa ujasusi waendelea kufanya uchunguzi JKIA

19th April, 2018

        Maafisa wa ujasusi wanaendelea na uchunguzi kuhusiana na

        awa za kulevya zilizopatikana katika uwanja wa ndege

        Wa kimataifa wa Jomo Kenyatta hapo jana. Mtu mmoja

        ametiwa mbaroni na polisi kuhusiana na dawa hizo

        zinazoaminika kuwa aina ya aina ya heroin ambazo

        zimesemekana kuwa zenye uzani wa kilo ishirini na

        tanohata hivyo kumekuwa na utata kuhusu kiwango

        halisi cha dawa hizo huku hadi kufikia sasa ikiwa hakuna

        taarifa kamili kuhusiana na dawa hizo. Awali taarifa

        ziliashiria kuwa dawa hizo zilikuwa zikipelekwa amsterdam

        nchini uholanzi, madai ambayo yamepingwa na usimamizi wa

        JKIA pamoja na kuwa mmoja wa wafanyakazi wake walikuwa

         wakichunguzwa

.
RELATED VIDEOS