.
29th March, 2018
Familia ya marehemu Ibrahim Akasha aliyehusishwa na ulanguzi wa dawa za kulevya imeelezea wasiwasi kuhusu hali ya wapendwa wao waliohamishwa marekani kujibu mashtaka kuhusu biashara hiyo haramu. Kwenye mahojiano ya kipekee na KTN, mmoja wao aliwatembelea na kuelezea kile anasema ni hali ngumu wanayopitia.