.
29th March, 2018
Jaji wa mahakama kuu George Odunga amemtoza faini waziri wa usalama Fred Matiang'i, Inspekta mkuu wa polisi Joseph Boinnet na katibu wa uhamiaji Gordon Kihalangwa kwa kukiuka agizo la mahakama kuhusu wakili anayekumbwa na utata Miguna Miguna. Faini hiyo ya shilingi laki mbili kwa kila mmoja itatolewa kwenye mishahara yao.