.
13th March, 2018
Tukisalia kwenye masuala ya usalama ni kuwa wasiwasi pia umegubika kijiji cha Ndenderu huko Kiambaa baada ya watu wawili wa jamii moja kuuawa kwa njia tata katika visa vya mauaji ya kiholela yanayoonekana kukithiri katika eneo hilo.