.
12th February, 2018
Kampuni ya bima ya Jubilee imetoa miwani ya bure kwa wanafunzi walio na matatizo mbalimbali ya kuona. Miwani hiyo imetolewa katika shule ya msingi ya Kilimani, kwenye zoezi ambalo litagharimu shilingi milioni 1.4. Akizungumza wakati wa kutolewa kwa miwani hiyo, afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya bima ya Jubilee Julius Kipng'etich amesema juhudi hizo zinpaniw kutoa hamasisho kwa wanafunzi walio na matatizo ya kuona.