.
15th January, 2018
Naibu Rais wa Burundi Gaston Sindimwo ambaye yuko ziarani nchini Kenya amesisitiza kuwa taifa lake lipo thabiti licha ya msukosuko wa kisiasa na kiusalama ambao umekuwepo miaka ya awali. Sindimwo pia amezungumzia hali ya Burundi na hata misimamo yake kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa katika ukanda ya Afrika Mashariki.