×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KTNLeo Wikendi: Raila Odinga na Francis Atwoli watuma risala zao Cuba baada ya Fidel Castro kufariki

26th November, 2016

Aliyekuwa rais wa zamani wa Cuba, Fidel Castro amefariki. Fedel Castro   alifariki hapo jana usiku na viongozi mbalimbali wanazidi kutoa salamu za rambirambi kwa raiya wa nchi hiyo ambao waliumuenzi Castro kwa siku nyingi. Katika utawala wake Castrol alitofautiana pakubwa na marekani iliyodhania kuwa alikuwa akiendeleza uongozi wa kiimla. Alikuwa uongozini kwa kipindi cha zaidi ya miaka 40 baada ya kuipindua serikali ya Cuba mwaka wa 1959 na kuifanya nchi ya kikoministi.  Miongoni mwa waliotuma risala zao nchini ni kiongozi wa ODM Raila Odinga hali kadhalika katibu mkuu wa vyama vya wafanyikazi nchini Francis Atwoli

.
RELATED VIDEOS