×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KTNLeo Wikendi: Murkomen amlaumu John Mbadi kuwa ameingiza siasa za NYS

26th November, 2016

Seneta wa Elgeyo Marakwet Kipchumba Murkomen ametaka baadhi ya wanachama wa kamati ya bunge kuhusu uhasibu kuchunguzwa, akidai kuwa wanahujumu uchunguzi unaofanywa kuhusu wajibu wa aliyekuwa waziri wa ugatuzi Anne Waiguru katika fedha za nys zilizopotea. Murkomen amemlaumu mbunge wa Suba John Mbadi akidai kuwa ameingiza siasa katika suala hilo. Murkomen alitajwa na Bi Waiguru kuwa miongoni mwa waliofaidi katika sakata hiyo

.
RELATED VIDEOS