KTN Leo: Gavana wa Bomet Isaac Ruto akaribishwa nyumbani kwa shangwe
19th November, 2016
Kulikuwa na mikutano mikubwa ya siasa katika maeneo ya Suswa Olulunga na Mulot. Miongoni mwa wanasiasa waliohudhuria hafla hiyo ya kiongozi wa chama cha Mashinani ni pamoja na wabunge Yohana Ng’eno na Zakayo Cheruiyot.