.
12th November, 2016
Katika mseto wa taarifa zetu joto la kisiasa linaendelea kupamba moto katika kaunti ya Bomet maandamano yakishuhudiwa siku chache baada ya Gavana Isaack Ruto kupata majeruhi yaliyomsababisha kutafuta matibabu Afrika Kusini.taarifa hiyo na nyingine kwenye mkusanyiko wa kaunti