27th October, 2016
Mtu mmoja ameuawa katika ubalozi wa marekani nchini kenya alipojaribu kumnyang’anya afisa wa polisi bastola yake. Maafisa wa polisi walimpiga risasi na walioshudia wanasema kuwa walisikia milio ya risasi. Maafisa wa fbi walifika katika eneo hilo kuchunguza tukio hilo huku baadhi ya watu wakidhania kuwa ni tukio la kigaidi. Geff kirui amekuwa katika eneo hilo.