×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KTN Leo: Tafiti za ukeketaji zimebaini wengi wa wasichana hawafahamu utamaduni huo, 26/10/16

26th October, 2016

Tafiti za shirika la Action Aid kuhusu ukeketaji zimebaini wengi wa wasichana hawafahamu utamaduni huo una malengo yapi maishani mwao lakini wanajua maisha yao huharibika. Kwenye kaunti ya Pokot magharibi simulizi hizi ni nyingi lakini waathiriwa, wazee na viongozi wa dini wamejitolea kukabiliana na ukeketaji.

.
RELATED VIDEOS