13th October, 2016
Je wanafunzi wanapofanya mitihani inayofadhiliwa na wanasiasa kuna athari ya namna gani kwa ufanisi wao wa elimu. Mtindo wa hivi punde wa gavana wa Siaya Cornel Rasanga kuchapisha picha zake kwenye mitihani ya mwigo imezua mdahalo. Hata hivyo imetambulika kuwa tabia hiyo imeingia katika kaunti ya Kisii .