.
2nd October, 2016
Mwakilishi wa wodi ya Kisumu West Paul Okiri, aliyedaiwa kutekwa nyara usiku wa juma tano katika kijiji cha Kapuonja sasa anataka polisi kuchunguza kisa. Wakati huo huo ameelezea kusikitika kwake na hatua ya wakazi wa hapo kuharibu mali ya afisa mmoja katika serikali County ya Kisumu.