.
27th August, 2016
Huenda maafisa watatu wa kamati ya olimpiki nchini wakakumbana na baridi ya korokoroni wakihitajika kueleza wanachojua kuhusu sakata ya rio. Maafisa hao waliopelekwa katika makao makuu ya polisi wamelaumiwa kwa mateso waliopitia wanariadha waliposafiri brazil kuwakilisha kenya. Waziri wa michezo Hassan Wario alikuwa amefutilia mbali NOCK kutokana na kashfa hiyo.