.
16th August, 2016
Jamaa mmoja wa miaka 35 anashukiwa kumuangamiza mwanawe wa miaka sita katika kijiji cha Kanorero Gatuzi la Elementaita kaunti ya Nakuru. Godfrey Muiruri alizozana na mke wake Hannah Nyambura alipotaka kunywa maziwa ya mwanawe na kupandwa na ghadhabu kabla ya kutekeleza kitendo hicho cha kinyama