×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Sportpesa yatia saini mkataba na timu ya Southampton

27th July, 2016

Siku chache tu baada ya kutangaza ufadhili wa klabu ya Hull city katika ligi kuu nchini Uingereza, kampuni ya Sportpesa imetia saini mkataba mwengine na timu ya zamani ya Victor Wanyama Southampton katika mpango wa miaka mitatu ambao utasaidia ukuzaji wa soka ya chipukizi. Lynne Wachira na taarifa kamili kutoka uingereza.
.
RELATED VIDEOS