Sportpesa yatia saini mkataba na timu ya Southampton
27th July, 2016
Siku chache tu baada ya kutangaza ufadhili wa klabu ya Hull city katika ligi kuu nchini Uingereza, kampuni ya Sportpesa imetia saini mkataba mwengine na timu ya zamani ya Victor Wanyama Southampton katika mpango wa miaka mitatu ambao utasaidia ukuzaji wa soka ya chipukizi. Lynne Wachira na taarifa kamili kutoka uingereza.