×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Matamshi ya Raila yakosolewa baada ya ziara yake magharibi

26th July, 2016

Ziara ya siku tano ya kiongozi wa odm Raila Odinga sehemu ya magharibi, ilichukuliwa na wengi kama iliyonuia kuzima uasi uliochipuka ndani ya chama. Lakini siku kadhaa baada ya ziara hiyo, yamkini sauti hizo bado zinasikika, huku viongozi wengine ndani ya muungano wa cord wakionekana kupanda basi lake aliyekuwa katibu mkuu wa ODM na mbunge wa Budalang’i Ababu Namwamba. Je, ziara ya Raila Odinga ilifaulu au ilizaa uasi zaidi katika eneo hilo?. Mwandishi wetu wa magharibi Robert Wanyonyi anatathmini swala hilo.
.
RELATED VIDEOS