Vurumai kanisani yawaacha mamia na majeraha makali
24th July, 2016
Mamia ya waumini miongoni mwao mchungaji wa kanisa walipata majeraha mwilini mapema hii leo. Hii ni baada ya vita kuibuka katika kanisa la African Independent Pentecostal church of Africa (AIPCA) kufuatia mzozo wa uongozi. Sycilia Wakesho anataarifa hiyo.