Jamaa mhindi aliyetangamana na wakaazi wa Kisumu kiasi cha kuizungumza lugha ya Kijaluo
11th July, 2016
Jamii ya wa Asia nchini Kenya imeonekana mara nyingi kama ya watu waliojitenga. Lakini huenda tukabaini kuwa pengine si kweli baada ya taarifa hii inayomhusu jamaa mhindi aliyetangamana na wakaazi wa Kisumu kiasi cha kuizungumza lugha ya Kijaluo vizuri kabisa . Agnes Penda alizungumza na jamaa huyo na sasa anaarifu .