Kampuni ya East African Sea Foods imekuwa ikiingiza nchini samaki kutoka Uchina kwa bei rahisi
5th July, 2016
Licha ya kujengwa kwenye ufuo wa Ziwa Victoria, kampuni ya East African Sea Foods imekuwa ikiingiza nchini samaki kutoka Uchina kwa bei rahisi…. Licha ya hatua hiyo kuwasikitisha Wabunge wa eneo la Ziwa wanaodai inasambaratisha soko la samaki la Kenya, wakazi wa Kisumu wamekaribisha hali hiyo wakisema samaki hao si wa bei ghali kama wanaovuliwa Ziwa Victoria. Rashid Ronald anaarifu kutoka Kisumu.