Upasuaji wa maiti za watu watatu waliopatikana katika mto wa Ol Donyo Sabuk bado unaendelea
4th July, 2016
Upasuaji wa maiti za watu watatu waliouwawa na miili yao kupatikana katika mto wa Ol Donyo Sabuk bado unaendelea. Watatu hao, wakili Willy Kimani, mteja wake Josephat Mwenda na dereva wa texi Joseph Muiruri wanashukiwa kuuwawa na maafisa wa polisi wa utawala, washukiwa ambao tayari leo walifikishwa mahakamani. Mashirima Kapombe ana maelezo zaidi.