×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanyama pori katika mbuga ya Amboseli wamo hatarini kufuatia ongezeko la watu wanosihi karibu

25th June, 2016

Sasa ni dhahiri zaidi kuwa wanyama pori katika mbuga ya Amboseli wamo hatarini kufuatia ongezeko la watu wanosihi karibu na mbuga hiyo. Hatari hiyo imeonekana zaidi baada ya ndovu anayeaminika kuwa miongoni mwa ndovu wakubwa zaidi ulimwenguni anaiyeshi katika mbuga hiyo kujeruhiwa kwa mkuki. Yadaiwa kuwa ndovu huyo anayeitwa Tim alifumwa mkuki na wakulima wanaoishi karibu na hifadhi ya kimana iliyoko kwenye mbuga hiyu. Hii hapa taarifa kamili.
.
RELATED VIDEOS