×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waziri mkuu Cameron atarajiwa kujiuzulu baada ya Uingereza kujiondoa katika muungano wa ulaya

25th June, 2016

Waziri mkuu wa uingereza David Cameron anatarajiwa kujiuzulu kabla ya oktoba mwaka huu baada ya nchi hiyo kupiga kura ya kujiondoa katika muungano wa ulaya. Akizungumza baada ya matokeo kutangazwa, Cameron amesema kuwa hataweza kuongoza meli inaoyoonekana kuzama. Baadhi ya athari za moja kwa moja za uamuzi huo ni pauni ya Uingereza kushuka dhidi ya dola kwa mara ya kwanza tangu 1985.
.
RELATED VIDEOS