Siku ya Mageuzi ya Chakula yasherekewa nchini
21st May, 2016
Wapishi kote ulimenguni hapo jana waliadhimisha sikukuu ya mageuzi katika kuulaji ulimwenguni . Siku kuu hii ni ya kuelimisha umma kuhusu ulaji wa vyakula vinavyofaa kiafya, na hapo jana wapishi hao wakiandamana na wanamuziki mashuhuri juliani walikuwa katika shule ya msingi ya makini walikowafundisha wanafunzi wa chekechea jinsi ya kupika . Hii hapa taarifa kamili.