×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jamaa mmoja atJamaa mmoja ataka haki baada ya kupigwa risasi na polisi kimakosa miaka 9 iliyopitaaka

11th May, 2016

Jamaa mmoja katika kaunti ya Nyeri analilia haki baada ya kupigwa risasi na polisi kimakosa miaka 9 iliyopita. John Kairia Mwangi alikuwa mwanafunzi wa kidato cha pili alipokumbwa na kisirani hicho na hadi sasa hana uwezo wa kujifanyia chochote. Wazazi wake wamekuwa wakitafuta njia za kuwashinikiza polisi kuwajibika bila mafanikio. Carol Nderi anaarifu
.
RELATED VIDEOS