Jamaa mmoja atJamaa mmoja ataka haki baada ya kupigwa risasi na polisi kimakosa miaka 9 iliyopitaaka
11th May, 2016
Jamaa mmoja katika kaunti ya Nyeri analilia haki baada ya kupigwa risasi na polisi kimakosa miaka 9 iliyopita. John Kairia Mwangi alikuwa mwanafunzi wa kidato cha pili alipokumbwa na kisirani hicho na hadi sasa hana uwezo wa kujifanyia chochote. Wazazi wake wamekuwa wakitafuta njia za kuwashinikiza polisi kuwajibika bila mafanikio. Carol Nderi anaarifu