×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Vurumai katika Bunge la kaunti ya Mombasa baada ya wawakilishi wa wadi kutofautiana

11th May, 2016

Vurumai imezuka Alasiri ya leo kwa siku ya pili katika Bunge la kaunti ya Mombasa baada ya wawakilishi wa wadi kutofautiana kuhusu kuendelea kwa vikao bungeni. Mgogoro huu ambao ulianza hapo jana ulipalilia rabsha ya aina yake pale wanahabari walipohujumiwa na kuzuiliwa kuingia bungeni kunakili matukio hayo. Spika Thaddeus Rajwayi alionekana kushindwa kuthibiti hali hiyo iliyochukua takriban saa mbili cheche za matusi na vishindo vikishamiri
.
RELATED VIDEOS