Mwalimu apigwa risasi kimakosa na polisi Siaya
10th May, 2016
Familia moja mjini Nakuru inalilia haki baada ya mwenzao kupigwa risasi na polisi katika eneo moja la kaunti ya Siaya. Kwa mujibu wa polisi wa eneo hilo . Colleta Rose Amondi ambaye alikuwa mwalimu wa shule ya upili ya wambasa alipigwa risasi kimakosa wakati maafisa wa usalama wakiwafuata wahalifu.