Serikali yatoa Shilingi milioni 6 kwa familia 198 zilizoathirika baada ya jengo kuporomoka Huruma
10th May, 2016
Serikali imetoa Shilingi milioni sita kwa familia 198 zilizoathirika baada ya jengo kuporomoka mtaani Huruma.. Hata hivyo viongozi wa kisiasa wametaka serikali ya kaunti kushttakiwa kwa kutowajibika na hivyo kuidhinisha ujenzi duni jijini.