×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jengo laporomoka Nyali, Mombasa

9th May, 2016

Wiki 2 baada ya mkasa wa jengo kubomoka katika mtaa wa Huruma hapa Nairobi, sehemu ya jengo moja mjini Mombasa imeporomoka. Jengo hilo lenye duka la jumla la Naivas na maduka mengine ya rejereja katika mtaa wa Nyali lilibomoke sehemu ya vyoo usiku wa kuamkia leo. Kulingana na mamlaka ya kaunti ya Mombasa,hakuna aliyejeruhiwa kwenye mkasa huo.
.
RELATED VIDEOS