Viongozi wa CORD waongoza maandamano Nairobi kushinikiza magauzi katika IEBC
9th May, 2016
Viongozi wa CORD Raila Odinga, Kalonzo Musyoka na Moses Wetangula kwa mara nyingine wameelekeza maandamano katika makao makuu ya IEBC hapa jijini Nairobi wakishinikiza tume hiyo ifanyiwe mageuzi kabla ya uchaguzi mkuu ujao. Hata hivyo azimio lao kuingia ndani ya jengo la Annversary lilisitishwa baada ya kutimuliwa kwa vitoza machozi.