×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana Evans Kidero awapa wamiliki wa vyumba siku 90 kuhakikisha majengo yao yamekaguliwa

8th May, 2016

Gavana wa Nairobi Daktari Evans Kidero ametoa makataa ya siku tisini kwa wamiliki wa vyumba jijini nairobi kuhakikisha kwamba majengo yao yamekaguliwa la sivyo yabomolewe. Makataa hayo yanatolewa kufuatia kuporomoka kwa jengo la makazi katika mtaa wa huruma na kuwaua watu zaidi ya hamsini ijumaa iliyopita.gavana kidero ambaye alikuwa akizungumza katika kanisa la all saints cathedral baada ya hafla maalum kwa askofu eliud wabukala anayestaafu baada ya kuhudumu kwa miaka 7, amesema kwamba changamoto katika kubomoa majengo hayo ni pale wamiliki wanapoelekea mahakamani na kupinga ubomozi.
.
RELATED VIDEOS