Mwaka jana zaidi ya watu Hamsini waliuawa kinyama katika eneo la Nadome kutokana na vita baina ya ja
7th May, 2016
Mwaka jana zaidi ya watu Hamsini waliuawa kinyama katika eneo la Nadome kutokana na vita baina ya jamii za wa Pokot na Wasamburu. Mwaka mmoja baadaye jamii hizo mbili kwa sasa zimezika uhasama huo katika Kaburi la Sahau na kuendeleza wiano miongoni mwao. Mwanahabari Victor Ogalle na taarifa zaidi kutoka Kaunti ya Baringo.