×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwaka jana zaidi ya watu Hamsini waliuawa kinyama katika eneo la Nadome kutokana na vita baina ya ja

7th May, 2016

Mwaka jana zaidi ya watu Hamsini waliuawa kinyama katika eneo la Nadome kutokana na vita baina ya jamii za wa Pokot na Wasamburu. Mwaka mmoja baadaye jamii hizo mbili kwa sasa zimezika uhasama huo katika Kaburi la Sahau na kuendeleza wiano miongoni mwao. Mwanahabari Victor Ogalle na taarifa zaidi kutoka Kaunti ya Baringo.
.
RELATED VIDEOS