Tembea Kenya: Mto wa Chebloch katika mpaka wa Kaunti wa Pokot na Elgeyo Marakwet
7th May, 2016
Hii leo kwenye makala yetu ya kila Jumamosi ya ‘Tembea Kenya’ tunaangazia eneo moja ambalo vijana hujirusha kwenye mto wenye kila aina ya hatari ili kujizolea riziki yao ya kila siku. Elvis Kosgei anasimulia alipotembelea mto huo wa Chebloch ambao upo mpakani ya Kaunti ya Baringo na Elgeyo Marakwet.