FIFA limefungua uchunguzi dhidi ya aliyekuwa naibu wa rais wa shirika hilo Jeffrey Webb
5th May, 2016
Kitengo cha maadili cha shirika la soka duniani FIFA limefungua uchunguzi dhidi ya aliyekuwa naibu wa rais wa shirika hilo Jeffrey Webb. Webb alikuwa pia amewahi hudumu kama mkuu wa shirika la soka amerika kaskazini na kati ambako anakumbwa na madai ya ufisadi. Maafisa wengi wa shirika hilo akiwemo aliyekuwa Rais Sepp Blatter wanachunguzwa ama wana kesi ya kujibu kutokana na ufisadi.