Mafunzo ya tarakilishi yaanzishwa Eldoret kufanikisha mradi wa serikali
3rd May, 2016
Maafisa kutoka kwa mamlaka ya teknolojia, wizara ya elimu na tume ya huduma za walimu kwa ushirikiano na chuo kikuu cha Moi wameanzisha mafunzo ya tarakilishi ya wiki moja katika chuo kikuu cha moi Eldoret. Tayari serikali imeanzisha mradi huo wa kupeana tarakilishi katika shule za msingi.