×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Peter Munya awaongoza magavana wenzake kumfariji rais mustaafu Mwai Kibaki

3rd May, 2016

Mwenyekiti wa baraza la magavana Peter Munya awaongoza wenzake kumfariji rais mustaafu Mwai Kibaki kutokana na kifo cha mkewe mama Lucy Kibaki . Wakati huo huo serikali imetoa ratiba ya maziko ya Mama Lucy Kibaki.. Ibada ya wafu itafanyika katika kanisa la Consolata Shrine. Mipango hiyo imetangazwa na katibu katika wizara ya mambo ya nje Karanja Kibicho.
.
RELATED VIDEOS